Mshambuliaji nyota wa Misri Mohammed Salah anatazamiwa kutetea taji lake la Mchezaji Bora wa Mwaka wa Afrika katika hafla itakayofanyika baadae hii leo. Uamuzi wa leo wa Caf umetangazwa katika mji mkuu wa Senegal wa Dakar ambapo baadae usiku kutafanyika sherehe za tuzo za mwaka za Caf. Mshambuliaji nyota wa Misri Mohammed Salah anatazamiwa kutetea taji lake la Mchezaji Bora wa Mwaka wa Afrika, achuana katika kuwania tuzo hiyo na Mgaboni Pierre-Emerick Aubameyang na Msenegali Sadio Mane. Baada ya Caf kuwafutia Kameruni uandalizi wa mashindano hayo, imewapa fursa ya kuandaa tena baada ya miaka miwili. Hali hiyo inamaanisha nchi zilizopangwa kuandaa mashindano hayo kwa mwaka 2021 na 2023 wameombwa kupeleka mbele. Ivory Coast, ambao walitakiwa kuandaa mashindano ya 2021, tayari wameshakata rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo. Shirikisho la Mpira la Guinea limetangaza jana Jumatatu kukubali kupeleka mbele maandalizi yake ya Afcon kutoka mwaka 2023 mpaka 2025.
Mshambuliaji nyota wa Misri Mohammed Salah anatazamiwa kutetea taji lake la Mchezaji Bora wa Mwaka wa Afrika katika hafla itakayofanyika baadae hii leo. Uamuzi wa leo wa Caf umetangazwa katika mji mkuu wa Senegal wa Dakar ambapo baadae usiku kutafanyika sherehe za tuzo za mwaka za Caf. Mshambuliaji nyota wa Misri Mohammed Salah anatazamiwa kutetea taji lake la Mchezaji Bora wa Mwaka wa Afrika, achuana katika kuwania tuzo hiyo na Mgaboni Pierre-Emerick Aubameyang na Msenegali Sadio Mane. Baada ya Caf kuwafutia Kameruni uandalizi wa mashindano hayo, imewapa fursa ya kuandaa tena baada ya miaka miwili. Hali hiyo inamaanisha nchi zilizopangwa kuandaa mashindano hayo kwa mwaka 2021 na 2023 wameombwa kupeleka mbele. Ivory Coast, ambao walitakiwa kuandaa mashindano ya 2021, tayari wameshakata rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo. Shirikisho la Mpira la Guinea limetangaza jana Jumatatu kukubali kupeleka mbele maandalizi yake ya Afcon kutoka mwaka 2023 mpaka 2025.